Kamanda wa eneo hilo alisema al-Shabaab kwa muda mfupi walidhibiti mji wa Beled Hawo, ulio mpakani, kabla ya kushambuliwa na kutimuliwa.
Kila upande unadai kuwa upande wa pili umepata hasara kubwa zaidi.
Al Shabaab bado wanadhibiti maeneo mengi ya kusini na kati mwa Somalia ingawa wamekimbizwa Mogadishu awali mwaka huu.


7:44 AM
Hamed Mazrui


0 comments:
Post a Comment