Wednesday, November 21, 2012

Dk. Shein Ziarani Nchini Viietnam


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akiagana na Makamu wa Kwanza wa Rais wa  Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad,pamoja na Viongozi wengine wa Vyama na Serikali,katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar leo,akielekea Nchini Vietnam kwa ziara rasmi ya Kiserikali,katika ziara hiyo Rais amefuatana na Mkewe Mama Mwanamwema Shein,pamoja na Mawaziri na Maofisa mbali mbali

0 comments:

Post a Comment

 
Design by M.S Chopoti | Bloggerized by Ulimwengu Wa Digital