Sunday, November 25, 2012

Majaji wa Misri wamlaumu Rais Morsi

 
Mahakama ya Misri
Siku ya Alkhamisi Bwana Morsi alisema alichukua hatua hiyo kwa masilahi ya wananchi wote wa Misri, na majaji hawawezi kukaidi madaraka yake mepya.
Majaji katika mji wa Alexandria, kando ya bahari ya Mediterranean, wanasema wanagoma kuonesha mlalamiko yao.
Hapo jana kulifanywa maandamano makubwa sehemu mbali-mbali za nchi kupinga hatua ya rais.
Maandamano mengine yanapangwa kufanywa Jumamosi

NA BBC SWAHILI..

0 comments:

Post a Comment

 
Design by M.S Chopoti | Bloggerized by Ulimwengu Wa Digital