Monday, November 26, 2012

muigizaji kufariki dunia tanzania

Muigizaji mashuhuri wa tasnia ya filamu nchini Husein Mkiety "Sharo Milionea" amefariki dunia kwa ajali ya gari wakati akiwa safarini kuelekea Tanga. Taarifa ya mkuu wa Polisi Tanga inasema marehemu alikuwa ndani ya gari aina ya Harrier lililopinduka wilaya ya Muheza kijiji cha Lusanga. Tunatoa salaam za rambirambi kwa ndugu, jamaa, marafiki na mashabiki wa Sharo Milionea walioguswa na msiba huu. Hakika bongomovies imepoteza nguzo muhimu.
Muigizaji mashuhuri wa tasnia ya filamu nchini Husein Mkiety "Sharo Milionea" amefariki dunia kwa ajali ya gari wakati akiwa safarini kuelekea Tanga. Taarifa ya mkuu wa Polisi Tanga inasema marehemu alikuwa ndani ya gari aina ya Harrier lililopinduka wilaya ya Muheza kijiji cha Lusanga. Tunatoa salaam za rambirambi kwa ndugu, jamaa, marafiki na mashabiki wa Sharo Milionea walioguswa na msiba huu. Hakika bongomovies imepoteza nguzo muhimu.

0 comments:

Post a Comment

 
Design by M.S Chopoti | Bloggerized by Ulimwengu Wa Digital