Kadhalika, viongozi wa CCM na serikali wametakiwa kuacha tabia ya kwenda kwa wananchi na kuwaomba msamaha kwa kushindwa kutekeleza ahadi zao waliozoahidi mwaka 2005 na 2010 huku wakiwa mikono mitupu badala yake wanatakiwa kwenda kuwaambia wamefanya nini.
Dk. Slaa alitoa kauli hiyo jana jijini Dar es Salaam alipozungumza na wajumbe wa Mkutano Mkuu wa chama hicho katika Jimbo la Kigamboni.
0 comments:
Post a Comment