Friday, November 23, 2012

waziri kutembelea bajaj

hii imetoka kwenye twitter page ya mheshimiwa January. Mwanasiasa/waziri toka serikali ya tanzania anayeoongoza kwa kuwa na wafuasi wengi zaidi kwenye Twitter.

Hivi can you imagine waziri kama Samuel Sitta au Mwanasiasa kama Freeman Mbowe atembee na bajaj?



0 comments:

Post a Comment

 
Design by M.S Chopoti | Bloggerized by Ulimwengu Wa Digital