hii imetoka kwenye twitter page ya mheshimiwa January. Mwanasiasa/waziri toka serikali ya tanzania anayeoongoza kwa kuwa na wafuasi wengi zaidi kwenye Twitter.
Hivi can you imagine waziri kama Samuel Sitta au Mwanasiasa kama Freeman Mbowe atembee na bajaj?
0 comments:
Post a Comment